Zaburi 68:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na abarikiwe Yehova, ambaye hutubebea mzigo wetu kila siku,+Mungu wa kweli wa wokovu wetu.+ Sela. Isaya 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+ Tito 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wasiwe wakiiba,+ bali wawe wakionyesha uaminifu mwema kwa ukamili,+ ili walipambe fundisho la Mwokozi wetu,+ Mungu, katika mambo yote.
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+
10 wasiwe wakiiba,+ bali wawe wakionyesha uaminifu mwema kwa ukamili,+ ili walipambe fundisho la Mwokozi wetu,+ Mungu, katika mambo yote.