Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 38:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nikasema, ‘Unaweza kufika hapa, na usipite;+

      Na hapa mawimbi yako yenye fahari yamewekewa mpaka’?+

  • Zaburi 96:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+

      Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+

      Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+

  • Zaburi 104:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ameiwekea dunia msingi juu ya mahali pake palipofanywa imara;+

      Haitatikiswa mpaka wakati usio na kipimo, au milele.+

  • Yeremia 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 ‘Je, hata hamniogopi mimi,’+ asema Yehova, ‘au, je, hata hamna maumivu makali kwa sababu yangu,+ ambaye nimeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, sharti linalodumu mpaka wakati usio na kipimo kwamba haiwezi kuvuka? Ingawa mawimbi yake husukasuka, bado hayawezi kushinda; na ingawa huchafuka, bado hayawezi kuuvuka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki