Yeremia 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Nawe usisali kwa ajili ya watu hawa, wala usipaaze kilio cha kusihi kwa ajili yao wala sala wala kuniomba,+ kwa maana sitakusikiliza.+ Yeremia 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Nawe usisali kwa ajili ya watu hawa, wala usipaaze kilio cha kusihi wala sala kwa ajili yao,+ kwa maana sitawasikiliza wakati watakaponiomba kuhusu msiba wao.+
16 “Nawe usisali kwa ajili ya watu hawa, wala usipaaze kilio cha kusihi kwa ajili yao wala sala wala kuniomba,+ kwa maana sitakusikiliza.+
14 “Nawe usisali kwa ajili ya watu hawa, wala usipaaze kilio cha kusihi wala sala kwa ajili yao,+ kwa maana sitawasikiliza wakati watakaponiomba kuhusu msiba wao.+