Yeremia 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Nawe usisali kwa ajili ya watu hawa, wala usipaaze kilio cha kusihi kwa ajili yao wala sala wala kuniomba,+ kwa maana sitakusikiliza.+ Yeremia 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Yehova akaniambia: “Usisali kwa ajili ya watu hawa wapate mema yoyote.+ 1 Yohana 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeyote akimwona ndugu yake anafanya dhambi, dhambi ambayo haileti kifo,+ yeye ataomba, naye atampa huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi inayoleta kifo.+ Kuna dhambi ambayo huleta kifo. Ni kuhusu dhambi hiyo kwamba simwambii aombe.+
16 “Nawe usisali kwa ajili ya watu hawa, wala usipaaze kilio cha kusihi kwa ajili yao wala sala wala kuniomba,+ kwa maana sitakusikiliza.+
16 Yeyote akimwona ndugu yake anafanya dhambi, dhambi ambayo haileti kifo,+ yeye ataomba, naye atampa huyo uzima,+ ndiyo, kwa wale ambao hawafanyi dhambi inayoleta kifo.+ Kuna dhambi ambayo huleta kifo. Ni kuhusu dhambi hiyo kwamba simwambii aombe.+