Kutoka 32:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi sasa, niache, ili hasira yangu iwake juu yao nami niwaangamize,+ nami nikufanye wewe kuwa taifa kubwa.”+ Yeremia 11:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Nawe usisali kwa ajili ya watu hawa, wala usipaaze kilio cha kusihi wala sala kwa ajili yao,+ kwa maana sitawasikiliza wakati watakaponiomba kuhusu msiba wao.+ Yeremia 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Yehova akaniambia: “Usisali kwa ajili ya watu hawa wapate mema yoyote.+
10 Basi sasa, niache, ili hasira yangu iwake juu yao nami niwaangamize,+ nami nikufanye wewe kuwa taifa kubwa.”+
14 “Nawe usisali kwa ajili ya watu hawa, wala usipaaze kilio cha kusihi wala sala kwa ajili yao,+ kwa maana sitawasikiliza wakati watakaponiomba kuhusu msiba wao.+