Zaburi 66:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ikiwa nimefikiria jambo lolote lenye kuumiza moyoni mwangu,Yehova hatanisikia.+ Hosea 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Walienda kumtafuta Yehova wakiwa na makundi yao na mifugo yao, lakini hawakuweza kumpata.+ Alikuwa amejiondoa kwao.
6 Walienda kumtafuta Yehova wakiwa na makundi yao na mifugo yao, lakini hawakuweza kumpata.+ Alikuwa amejiondoa kwao.