Zaburi 74:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Kwa nini, Ee Mungu, umetutupilia mbali milele?+Kwa nini hasira yako inatoa moshi daima juu ya kundi la malisho yako?+ Zaburi 85:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, utapandwa na hasira kwa sababu yetu mpaka wakati usio na kipimo?+Je, utarefusha hasira yako kizazi baada ya kizazi?+ Maombolezo 3:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Umeweka kizuizi cha wingu kubwa usiweze kufikiwa,+ ili sala isiweze kupenya.+
74 Kwa nini, Ee Mungu, umetutupilia mbali milele?+Kwa nini hasira yako inatoa moshi daima juu ya kundi la malisho yako?+
5 Je, utapandwa na hasira kwa sababu yetu mpaka wakati usio na kipimo?+Je, utarefusha hasira yako kizazi baada ya kizazi?+