28 Na Yoshua akateka Makeda+ siku hiyo, akalipiga kwa makali ya upanga. Naye akamwangamiza mfalme wake na kila nafsi iliyokuwamo ndani yake.+ Hakuacha mtu yeyote aokoke. Kwa hiyo akamtendea mfalme wa Makeda+ kama vile alivyomtendea mfalme wa Yeriko.
3 Nao wakijificha katika kilele cha Karmeli, nitawatafuta kwa uangalifu na kuwachukua kutoka huko.+ Na wakijificha kwenye sakafu ya bahari kutoka mbele za macho yangu,+ huko chini nitamwamuru nyoka, naye atawauma.