Zaburi 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+ Yeremia 47:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Aha, upanga wa Yehova!+ Je, mpaka wakati gani hutanyamaza kimya? Ingizwa ndani ya ala+ yako. Tulia na kunyamaza kimya.
13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+
6 “Aha, upanga wa Yehova!+ Je, mpaka wakati gani hutanyamaza kimya? Ingizwa ndani ya ala+ yako. Tulia na kunyamaza kimya.