9 Na Nehemia,+ yaani, huyo Tirshatha,+ na Ezra+ kuhani, mwandikaji, na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia watu wote: “Leo ni siku takatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Msiomboleze wala kulia.”+ Kwa maana watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya sheria.+