2 Wafalme 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+ Yeremia 52:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+ Hosea 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye Israeli akaanza kumsahau Mtengenezaji wake+ na kujenga mahekalu;+ naye Yuda akazidisha majiji yenye ngome.+ Nami nitapeleka moto katika majiji yake nao utateketeza minara ya makao ya kila mmoja.”+
9 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ na nyumba ya kila mtu mkuu akaiteketeza kwa moto.+
13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+
14 Naye Israeli akaanza kumsahau Mtengenezaji wake+ na kujenga mahekalu;+ naye Yuda akazidisha majiji yenye ngome.+ Nami nitapeleka moto katika majiji yake nao utateketeza minara ya makao ya kila mmoja.”+