Ayubu 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mishale ya Mweza-Yote iko nami,+Ambayo roho yangu inainywa sumu yake;+Vitisho kutoka kwa Mungu vinajipanga juu yangu.+ Isaya 63:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+ Yeremia 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu na kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mkubwa.+ Yeremia 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wale wote wanaokupenda sana ndio wale ambao wamekusahau.+ Si wewe ambaye wanaendelea kukutafuta. Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+ kwa adhabu ya mtu mkatili,+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi.+
4 Kwa maana mishale ya Mweza-Yote iko nami,+Ambayo roho yangu inainywa sumu yake;+Vitisho kutoka kwa Mungu vinajipanga juu yangu.+
10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+
5 Nami nitapigana nanyi+ kwa mkono ulionyooshwa na kwa mkono wenye nguvu na kwa hasira na kwa ghadhabu na kwa ukali mkubwa.+
14 Wale wote wanaokupenda sana ndio wale ambao wamekusahau.+ Si wewe ambaye wanaendelea kukutafuta. Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+ kwa adhabu ya mtu mkatili,+ kwa sababu ya wingi wa makosa yako;+ dhambi zako zimekuwa nyingi.+