2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+ Maombolezo 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wakuu wametundikwa kwa mkono wao.+ Hata nyuso za wanaume wazee hazikuheshimiwa.+
21 Na mfalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua+ kule Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+