25 Kwa hiyo Yeye aliendelea kumwaga ghadhabu juu yake, hasira yake, na nguvu za vita.+ Nayo ikaendelea kumteketeza pande zote,+ lakini hakuangalia;+ nayo ikaendelea kuwaka juu yake, lakini akawa haweki lolote moyoni.+
4 Tahiriweni kwa ajili ya Yehova, na kuondoa magovi ya mioyo yenu,+ ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu; ili ghadhabu yangu isitoke kama moto, na hakika iteketeze bila yeyote wa kuizima, kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu.”+
20 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Tazama! Hasira yangu na ghadhabu yangu zinamwagwa juu ya mahali hapa,+ juu ya mwanadamu na juu ya mnyama wa kufugwa, na juu ya mti wa shambani+ na juu ya mazao ya udongo; nayo itateketeza, wala haitazimwa.’+