Ayubu 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nimeshona nguo ya gunia+ juu ya ngozi yangu,Nami nimetupa pembe yangu mavumbini.+ Zaburi 75:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Na pembe zote za waovu nitazikata.”+Pembe za mwadilifu zitainuliwa.+