27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+
30 Na ikawa kwamba mara mfalme alipoyasikia maneno ya mwanamke yule, mara moja akayararua+ mavazi yake; na kwa vile alikuwa akipita juu ya ukuta, watu wakaona, na, tazama! ndani alikuwa amevaa nguo za magunia juu ya mwili wake.