-
Yehova Hutoa Tumaini Katikati ya MajonziMnara wa Mlinzi—1988 | Septemba 1
-
-
Wenye madaraka wana hatia ikiwa hawa shutumu dhambi. Mungu alitupa Yerusalemu “kutoka mbinguni mpaka duniani,” akiruhusu uharibifu wao na ule wa “kibago-nyayo” chake, yaani hekalu. (Zaburi 132:7, NW) Hivyo yeye ‘alitweza utakato wa ufalme’ wa Yuda. Likiwa kama kibanda tu, hekalu liliharibiwa na maadui ambao makelele yao ya kushangilia ushindi yalikuwa kama vilio vya kisikukuu. Watoto wenye kufa waliwaomba mama zao kimaskini wawape chakula. Lakini ni nani hasa aliyekuwa na hatia kubwa? Ni wanabii bandia waliotoa matamko rasmi yenye kuongoza watu vibaya badala ya kushutumu dhambi ya Yerusalemu. (Yeremia 14:13, NW) Sala inafaa, kwa maana wengi sana wamekufa katika hii ‘siku ya hasira-kisasi ya Yehova’!—2:1-22, NW.
-
-
Yehova Hutoa Tumaini Katikati ya MajonziMnara wa Mlinzi—1988 | Septemba 1
-
-
◻ 2:6, NW—“Kibanda” cha Mungu kilikuwa hekalu katika Yerusalemu Wakati patakatifu hapo palipoteketezwa na Wababuloni, yeye alikuwa akiparuhusu ‘patendewe kwa jeuri,’ kama kijumba cha kuezekwa tu katika bustani Kifichio hicho cha muda tu chenye kukinga na jua kali kinabomolewa
-