Kumbukumbu la Torati 33:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+ Zaburi 91:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 91 Yeyote anayekaa mahali pa siri+ pa Aliye Juu Zaidi+Atajipatia makao katika kivuli cha Mweza-Yote.+ Ufunuo 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema+ la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa+ pamoja nao, nao watakuwa watu wake.+ Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+
27 Mungu wa nyakati za kale ni mahali pa kujificha,+Na chini kuna mikono yenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+Naye atawafukuzia mbali adui zako toka mbele yako,+Naye atasema, ‘Waangamize!’+
91 Yeyote anayekaa mahali pa siri+ pa Aliye Juu Zaidi+Atajipatia makao katika kivuli cha Mweza-Yote.+
3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema+ la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa+ pamoja nao, nao watakuwa watu wake.+ Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+