Yeremia 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda,+ kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikukomboe.’”+ Mathayo 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+
19 Nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda,+ kwa maana ‘Mimi niko pamoja nawe,’+ asema Yehova, ‘ili nikukomboe.’”+
20 na kuwafundisha+ kushika+ mambo yote ambayo nimewaamuru ninyi.+ Na, tazama! mimi nipo pamoja nanyi+ siku zote mpaka umalizio wa mfumo wa mambo.”+