Mathayo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi Yesu alipokuwa amemaliza maneno hayo, akaondoka Galilaya na kuja kwenye mipaka ya Yudea ng’ambo ya Yordani.+ Yohana 10:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Kwa hiyo akaenda tena ng’ambo ya Yordani mpaka mahali ambako Yohana alikuwa akibatizia+ hapo kwanza, naye akakaa huko.
19 Basi Yesu alipokuwa amemaliza maneno hayo, akaondoka Galilaya na kuja kwenye mipaka ya Yudea ng’ambo ya Yordani.+
40 Kwa hiyo akaenda tena ng’ambo ya Yordani mpaka mahali ambako Yohana alikuwa akibatizia+ hapo kwanza, naye akakaa huko.