Mathayo 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na, tazama! mtu mwenye ukoma+ akaja, akaanza kumsujudia, na kusema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.” Luka 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pindi nyingine alipokuwa katika moja kati ya majiji hayo, tazama! mwanamume mwenye kujaa ukoma! Alipomwona Yesu akajiangusha kifudifudi akamwomba, akisema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+
2 Na, tazama! mtu mwenye ukoma+ akaja, akaanza kumsujudia, na kusema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”
12 Pindi nyingine alipokuwa katika moja kati ya majiji hayo, tazama! mwanamume mwenye kujaa ukoma! Alipomwona Yesu akajiangusha kifudifudi akamwomba, akisema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+