Mathayo 24:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Ndipo mtu yeyote akiwaambia, ‘Tazameni! Kristo huyu hapa,’+ au, ‘Pale!’ msiamini.+ 1 Yohana 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wapendwa, msiamini kila neno lililoongozwa na roho,+ lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatokana na Mungu,+ kwa sababu manabii wengi wa uwongo wameingia ulimwenguni.+
4 Wapendwa, msiamini kila neno lililoongozwa na roho,+ lakini yajaribuni maneno yaliyoongozwa na roho ili kuona kama yanatokana na Mungu,+ kwa sababu manabii wengi wa uwongo wameingia ulimwenguni.+