Mathayo 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Umati ulipoona hilo wakaingiwa na woga, nao wakamtukuza Mungu,+ aliyewapa wanadamu mamlaka+ ya namna hiyo. Luka 5:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo wote wakashangilia,+ nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakaogopa, wakisema: “Tumeona mambo mageni leo!”+
8 Umati ulipoona hilo wakaingiwa na woga, nao wakamtukuza Mungu,+ aliyewapa wanadamu mamlaka+ ya namna hiyo.
26 Ndipo wote wakashangilia,+ nao wakaanza kumtukuza Mungu, wakaogopa, wakisema: “Tumeona mambo mageni leo!”+