Mathayo 27:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwishowe, walipokuwa wamemdhihaki,+ wakalivua lile joho na kumvika mavazi yake ya nje na kumpeleka akatundikwe mtini.+ Yohana 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo, wakati huo akamtia mikononi mwao, wakamtundike mtini.+ Basi wakamchukua Yesu.
31 Mwishowe, walipokuwa wamemdhihaki,+ wakalivua lile joho na kumvika mavazi yake ya nje na kumpeleka akatundikwe mtini.+