Mathayo 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Huyo kijana aliposikia maneno hayo, akaenda zake akiwa amehuzunika, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+ Marko 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini akasikitishwa na neno hilo na kwenda zake akiwa amehuzunika, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+
22 Huyo kijana aliposikia maneno hayo, akaenda zake akiwa amehuzunika, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+
22 Lakini akasikitishwa na neno hilo na kwenda zake akiwa amehuzunika, kwa maana alikuwa na mali nyingi.+