Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 15:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Akajibu, akasema: “Sikutumwa kwa wowote ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.”+

  • Luka 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi, je, haikuwa haki mwanamke huyu aliye binti ya Abrahamu,+ na ambaye Shetani alikuwa amemfunga, tazama! miaka kumi na minane, afunguliwe kutoka kwenye kifungo hiki siku ya sabato?”

  • Matendo 3:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ninyi ndio wana+ wa manabii na wa agano ambalo Mungu aliagana pamoja na mababu zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Na katika uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki