16 Basi, je, haikuwa haki mwanamke huyu aliye binti ya Abrahamu,+ na ambaye Shetani alikuwa amemfunga, tazama! miaka kumi na minane, afunguliwe kutoka kwenye kifungo hiki siku ya sabato?”
25 Ninyi ndio wana+ wa manabii na wa agano ambalo Mungu aliagana pamoja na mababu zenu, akimwambia Abrahamu, ‘Na katika uzao wako familia zote za dunia zitabarikiwa.’+