Mathayo 21:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Tena akawatuma watumwa wengine, zaidi ya wale wa kwanza, lakini wakawatendea vivyo hivyo.+ Marko 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na tena akamtuma mtumwa mwingine kwao; na huyo wakampiga kichwani na kumvunjia heshima.+