Mathayo 21:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+ Marko 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini wakulima hao wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi.+ Njooni, acheni tumuue, na urithi utakuwa wetu.’+
38 Walipomwona mwana wakulima wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi;+ njooni, acheni tumuue na kuupata urithi wake!’+
7 Lakini wakulima hao wakasemezana, ‘Huyu ndiye mrithi.+ Njooni, acheni tumuue, na urithi utakuwa wetu.’+