Mathayo 24:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Basi jifunzeni jambo hili kutokana na mtini kama mfano: Mara tu tawi lake changa linapokuwa jororo na kutoa majani, mnajua kwamba kiangazi kiko karibu.+ Marko 13:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Basi kutokana na mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu tawi lake changa linapokuwa jororo na kutoa majani yake, mnajua kwamba kiangazi kiko karibu.+
32 “Basi jifunzeni jambo hili kutokana na mtini kama mfano: Mara tu tawi lake changa linapokuwa jororo na kutoa majani, mnajua kwamba kiangazi kiko karibu.+
28 “Basi kutokana na mtini jifunzeni mfano huu: Mara tu tawi lake changa linapokuwa jororo na kutoa majani yake, mnajua kwamba kiangazi kiko karibu.+