Mathayo 26:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wakiwa wamehuzunishwa sana na jambo hilo, kila mmoja wao akaanza kumwambia: “Bwana, je, ni mimi?”+ Marko 14:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wakaanza kuhuzunika na kumwambia mmoja-mmoja; “Je, ni mimi?”+ Yohana 13:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wanafunzi wakaanza kutazamana, wasijue kabisa alikuwa akisema hilo kuhusu nani.+
22 Wakiwa wamehuzunishwa sana na jambo hilo, kila mmoja wao akaanza kumwambia: “Bwana, je, ni mimi?”+