Mathayo 26:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Basi msaliti wake alikuwa amewapa ishara, akisema: “Yeyote yule nitakayembusu, huyo ndiye; mkamateni.”+ Marko 14:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Naye akaja moja kwa moja akamkaribia na kusema: “Rabi!” na kumbusu+ kwa wororo sana.
48 Basi msaliti wake alikuwa amewapa ishara, akisema: “Yeyote yule nitakayembusu, huyo ndiye; mkamateni.”+