Yohana 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Sasa wale watumwa na maofisa walikuwa wamesimama huku na huku, kwa kuwa walikuwa wamewasha moto wa makaa,+ kwa sababu kulikuwa na baridi, nao walikuwa wakiota moto. Petro pia alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.
18 Sasa wale watumwa na maofisa walikuwa wamesimama huku na huku, kwa kuwa walikuwa wamewasha moto wa makaa,+ kwa sababu kulikuwa na baridi, nao walikuwa wakiota moto. Petro pia alikuwa amesimama pamoja nao akiota moto.