Marko 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+ Yohana 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo, wakati huo akamtia mikononi mwao, wakamtundike mtini.+ Basi wakamchukua Yesu.
15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+