Mathayo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+ Luka 1:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Katika mwezi wake wa sita malaika Gabrieli+ alitumwa kutoka kwa Mungu mpaka jiji moja la Galilaya linaloitwa Nazareti,
23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+
26 Katika mwezi wake wa sita malaika Gabrieli+ alitumwa kutoka kwa Mungu mpaka jiji moja la Galilaya linaloitwa Nazareti,