Matendo 2:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Basi waliposikia hilo walichomwa moyoni,+ nao wakamwambia Petro na wale mitume wengine: “Wanaume, akina ndugu, tufanye nini?”+ Matendo 16:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Naye akawaleta nje na kusema: “Mabwana zangu, nifanye+ nini ili niokolewe?”
37 Basi waliposikia hilo walichomwa moyoni,+ nao wakamwambia Petro na wale mitume wengine: “Wanaume, akina ndugu, tufanye nini?”+