Yohana 8:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Kwa hiyo wakaokota mawe wamtupie;+ lakini Yesu akajificha na kutoka hekaluni. Yohana 10:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Kwa hiyo wakajaribu tena kumkamata;+ lakini akaondoka mikononi mwao.+