Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 8:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Upesi baadaye akaanza kusafiri kutoka jiji mpaka jiji na kutoka kijiji mpaka kijiji, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu.+ Na wale kumi na wawili walikuwa pamoja naye,

  • Yohana 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lazima tufanye kazi zake aliyenituma kukiwa mchana bado;+ usiku+ unakuja wakati ambapo hakuna mtu anayeweza kufanya kazi.

  • Matendo 10:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 yaani, Yesu aliyekuwa ametoka Nazareti, jinsi Mungu alivyomtia mafuta kwa roho takatifu+ na nguvu, naye akaenda akipita katika nchi akitenda mema na kuwaponya wote waliokandamizwa na Ibilisi;+ kwa sababu Mungu alikuwa pamoja naye.+

  • Waroma 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana nasema kwamba kwa kweli Kristo alikuwa mhudumu+ wa wale waliotahiriwa+ kwa ajili ya ukweli+ wa Mungu, ili kuthibitisha ahadi+ ambazo Yeye aliwapa mababu zao,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki