Mathayo 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na, tazama! baadhi ya waandishi wakaambiana wao kwa wao: “Mtu huyu anakufuru.”+ Marko 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Kwa nini mtu huyu anaongea namna hii? Anakufuru. Nani anayeweza kusamehe dhambi ila mmoja, Mungu?”+
7 “Kwa nini mtu huyu anaongea namna hii? Anakufuru. Nani anayeweza kusamehe dhambi ila mmoja, Mungu?”+