10 Baadaye, huku akiwa ameketi mezani katika nyumba,+ tazama! wakusanya-kodi wengi na watenda-dhambi wakaja na kuanza kuketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake.
15 Baadaye akawa ameketi mezani, nyumbani kwake, na wakusanya-kodi+ wengi na watenda-dhambi walikuwa wameketi pamoja na Yesu na wanafunzi wake, kwa maana walikuwa wengi nao wakaanza kumfuata.+