18 Basi wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo walikuwa na zoea la kufunga. Kwa hiyo wakaja wakamwambia: “Kwa nini wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wa Mafarisayo hufunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?”+
34 Mwana wa binadamu amekuja akila na kunywa, lakini mnasema, ‘Tazama! Mtu mlafi na mwenye mazoea ya kunywa divai, rafiki ya wakusanya-kodi na watenda-dhambi!’+