Mathayo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye akawaambia: “Je, hamjasoma alilofanya Daudi wakati yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye walipoona njaa?+ Marko 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini yeye akawaambia: “Je, hamjasoma hata mara moja jambo alilofanya Daudi+ alipokuwa na uhitaji akaona njaa, yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye?+
3 Yeye akawaambia: “Je, hamjasoma alilofanya Daudi wakati yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye walipoona njaa?+
25 Lakini yeye akawaambia: “Je, hamjasoma hata mara moja jambo alilofanya Daudi+ alipokuwa na uhitaji akaona njaa, yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye?+