Isaya 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+ Mathayo 14:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mwishowe, baada ya kuwaruhusu umati waende zao, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ingawa ilikuwa jioni, alikuwa huko peke yake.
9 Nimekutamani wewe kwa nafsi yangu usiku;+ ndiyo, ninaendelea kukutafuta kwa roho yangu ndani yangu;+ kwa sababu, wakati kunapokuwa na hukumu kutoka kwako kwa ajili ya dunia,+ wakaaji wa nchi yenye kuzaa hakika watajifunza uadilifu.+
23 Mwishowe, baada ya kuwaruhusu umati waende zao, akapanda mlimani akiwa peke yake ili kusali.+ Ingawa ilikuwa jioni, alikuwa huko peke yake.