Luka 8:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili yake. Kwa hiyo akasema: “Acheni kulia,+ kwa maana hakufa bali analala usingizi.”+ Yohana 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa hiyo, Yesu alipomwona akilia na Wayahudi waliokuja pamoja naye wakilia, akaugua rohoni na kutaabika;+
52 Lakini watu wote walikuwa wakilia na kujipiga-piga kwa huzuni kwa ajili yake. Kwa hiyo akasema: “Acheni kulia,+ kwa maana hakufa bali analala usingizi.”+
33 Kwa hiyo, Yesu alipomwona akilia na Wayahudi waliokuja pamoja naye wakilia, akaugua rohoni na kutaabika;+