Mathayo 26:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Naye akaenda moja kwa moja kwa Yesu akasema: “Siku njema, Rabi!”+ na kumbusu+ kwa wororo sana. Marko 15:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakaanza kumsalimu: “Siku njema,+ ewe Mfalme wa Wayahudi!” Yohana 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 nao wakaanza kumjia na kusema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia wakawa wakimpiga makofi usoni.+
3 nao wakaanza kumjia na kusema: “Siku njema, ewe Mfalme wa Wayahudi!” Pia wakawa wakimpiga makofi usoni.+