Mathayo 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini mtumwa huyo akatoka, akamkuta mmoja wa watumwa wenzake aliyekuwa na deni lake la dinari+ mia moja; akamkamata, akamkaba koo, akisema, ‘Lipa deni lako lote.’
28 Lakini mtumwa huyo akatoka, akamkuta mmoja wa watumwa wenzake aliyekuwa na deni lake la dinari+ mia moja; akamkamata, akamkaba koo, akisema, ‘Lipa deni lako lote.’