Mathayo 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye alipopanda ndani ya mashua,+ wanafunzi wake wakamfuata. Marko 4:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo, walipokuwa wamekwisha kuuruhusu umati uondoke, wakamchukua katika mashua, kama vile alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+
36 Kwa hiyo, walipokuwa wamekwisha kuuruhusu umati uondoke, wakamchukua katika mashua, kama vile alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+