Marko 5:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Alipokuwa bado akisema, watu fulani kutoka nyumbani kwa yule ofisa-msimamizi wa sinagogi wakaja na kusema: “Binti yako amekufa! Kwa nini uendelee kumsumbua mwalimu?”+
35 Alipokuwa bado akisema, watu fulani kutoka nyumbani kwa yule ofisa-msimamizi wa sinagogi wakaja na kusema: “Binti yako amekufa! Kwa nini uendelee kumsumbua mwalimu?”+