Mathayo 14:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake.+ Marko 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Lakini Herode aliposikia hilo akaanza kusema: “Yohana ambaye nilimkata kichwa, ndiye huyo amefufuliwa.”+
3 Kwa maana Herode alikuwa amemkamata Yohana, akamfunga na kumweka gerezani kwa sababu ya Herodia mke wa Filipo ndugu yake.+
16 Lakini Herode aliposikia hilo akaanza kusema: “Yohana ambaye nilimkata kichwa, ndiye huyo amefufuliwa.”+