Hesabu 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Je, mifugo na makundi yatachinjwa kwa ajili yao, ili iwatoshe?+ Au samaki wote wa baharini watakamatwa kwa ajili yao, ili iwatoshe?” Zaburi 78:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Basi wakaanza kusema vibaya juu ya Mungu.+Walisema: “Je, Mungu anaweza kutayarisha meza nyikani?”+
22 Je, mifugo na makundi yatachinjwa kwa ajili yao, ili iwatoshe?+ Au samaki wote wa baharini watakamatwa kwa ajili yao, ili iwatoshe?”
19 Basi wakaanza kusema vibaya juu ya Mungu.+Walisema: “Je, Mungu anaweza kutayarisha meza nyikani?”+