Mathayo 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakamwambia: “Hatuna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.”+ Marko 6:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Akawaambia: “Mna mikate mingapi? Nendeni mkaone!” Baada ya kuhakikisha, wakasema: “Mitano, na samaki wawili.”+ Yohana 6:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Hapa yupo mvulana mdogo ambaye ana mikate mitano ya shayiri+ na samaki wadogo wawili. Lakini vitu hivi ni nini kwa watu wengi sana hivi?”+
38 Akawaambia: “Mna mikate mingapi? Nendeni mkaone!” Baada ya kuhakikisha, wakasema: “Mitano, na samaki wawili.”+
9 “Hapa yupo mvulana mdogo ambaye ana mikate mitano ya shayiri+ na samaki wadogo wawili. Lakini vitu hivi ni nini kwa watu wengi sana hivi?”+